Site icon Bongo Plus

Azam FC James Akaminko akajiunga na Simba SC kwa mkopo katika dirisha dogo la usajili.

Za ndaani kabisa huenda nyota wa Azam FC James Akaminko akajiunga na Simba SC kwa mkopo katika dirisha dogo la usajili.

Akaminko amekuwa akikosa nafasi chini ya kocha Yusuf Dabo. Vipi Wanasimba Jah Akaminko atawasaidia?

Exit mobile version