Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanzania CHADEMA, John Heche aeleza kuzuiliwa mpakani mwa Kenya na Tanzania. Alikuwa akielekea Kisumu kwa ajili ya mazishi ya aliyekuwa kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga.
Heche Azuiliwa Kwenda Kumzika Raila Odinga

