Site icon Bongo Plus

Kocha wa Yanga anarejea Algeria baada ya Miaka 10

Baada ya miaka kumi (10) Aliyekuwa kocha CR Belouzdad Miguel Gamondi anarejea tena Algeria ila safari hii akiwa kocha wa Yanga Sc ya Tanzania Gamondi amefundisha soka Africa kwa miaka 20 katika vilabu mbalimbali.”

Baadhi ya Vilabu alivyokwisha Fundisha ni.
Mamelodi Sundowns 🇿🇦
CR Belouzdad 🇩🇿
Wydad Casablanca 🇲🇦
Esperance de Tunis 🇹🇳
Etoile du Sahel 🇹🇳 etc ……

Exit mobile version