Maandalizi ya kaburi atakalozikwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, hayati Raila Odinga nyumbani kwao katika Kaunti ya Siaya.
Odinga alifariki dunia Oktoba 15, 2025 wakati akipatiwa matibabu nchini India anazikwa leo Jumapili.

Maandalizi ya kaburi atakalozikwa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, hayati Raila Odinga nyumbani kwao katika Kaunti ya Siaya.
Odinga alifariki dunia Oktoba 15, 2025 wakati akipatiwa matibabu nchini India anazikwa leo Jumapili.