Timu ya Manchester united ya uingereza na timu ya ya Fiorentina ya Italy wamekubaliana kumsaini kiungo mkabaji wa Sofyan Amrabat kwa mkopo kwa muda wa miezi 6, Ada ya mkopo huo ni kiasi cha fedha yuro Milioni 10 na endapo watakapo taka kumnunuwa watahitajika kulipa yuro Millioni 20 jumlisha na na makato ya njongeza kiasi cha yuro 5million

