Msanii wa bongo fleva anayejulikana kwa jina la @haithamkim amefariki dunia. Siku kadhaa nyuma zilisambaa taarifa zake kuwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la Mapafu. Mchana huu zimetolewa taarifa kuwa amefariki dunia.
Msanii wa bongo fleva anayejulikana kwa jina la @haithamkim amefariki dunia. Siku kadhaa nyuma zilisambaa taarifa zake kuwa alikuwa anasumbuliwa na tatizo la Mapafu. Mchana huu zimetolewa taarifa kuwa amefariki dunia.