Site icon Bongo Plus

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amewasili eneo la Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Kituo cha Polisi Mtumba Daraja A

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amewasili eneo la Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Kituo cha Polisi Mtumba Daraja A kinachotarajiwa kufunguliwa rasmi leo na Mhe. Dkt. Philip Mpango Makamu wa Rais

 

 

Exit mobile version