Site icon Bongo Plus

Yanayo endelea kwenye Mkutano mkuu wa ccm kitaifa – Dodoma 2025

π‚π‚πŒ πˆππ€π‰IPANGA πŠπ”π“π€π…π”π“π€ π”π’π€π…πˆπ‘πˆ πŠπ–π€ πŒπ€ππ€π‹πŽπ™πˆ – πƒπŠπ“. π’π€πŒπˆπ€

β€œChama kinajipanga kutafuta usafiri kwa ajili ya mabalozi wetu, vyombo hivyo vitaongeza tija katika utekelezaji wa majukumu na niwaombe viongozi mtunze vyombo hivyo na vitumike katika kutekeleza majukumu ya chama chetu (CCM)”

π‚π‚πŒ πˆππ€πŒπ’π‡π”πŠπ”π‘π” 𝐍𝐃𝐆. πŠπˆππ€ππ€ πŠπ–π€ π”πŽππ†πŽπ™πˆ π–π€πŠπ„ ππ˜π€πŠπ€π“πˆ π™πŽπ“π„ – πƒπŠπ“. π’π€πŒπˆπ€

β€œHalmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa inamshukuru Ndugu. Abdulrahman Kinana kwa uongozi wake thabiti ndani ya CCM na Serikalini, tunamshukuru sana na tunaendelea kumuhakikishia ushirikiano wetu kwake.

π–π€π‰π”πŒππ„ 1924 π–π€πŒπ„π’π‡πˆπ‘πˆπŠπˆ πŒπŠπ”π“π€ππŽ πŒπŠπ”π” 𝐖𝐀 π‚π‚πŒ – ππ€π‹πŽπ™πˆ πƒπŠπ“. ππ‚π‡πˆπŒππˆ

β€œWajumbe wote wa kikao hichi ni 1928, wajumbe waliopata dharura ni 4 pekee, hivyo hapa wapo wajumbe 1924 ndani ya ukumbi huu, kwahiyo kwa mujibu wa Katiba yetu ya CCM ibara 127 inatamka kikao kiwe na wajumbe zaidi ya nusu kifanyike hivyo kwa mujibu wa katiba kikao hichi ni halali.”

Β 

# Β 

Β 

Exit mobile version