Site icon Bongo Plus

Masaa machache yamepita tangu Msanii Gnakowarawara kuvujisha ngoma mpya ya kundi la Weusi, kitendo hicho kimemuibuka Rapa wa kundi hilo Joh Makini ambae ameonyesha kutopendezwa kabisa kupitia ukurasa wake wa X (Twitter) ameandika 👇🏻

Masaa machache yamepita tangu Msanii @gnakowarawara kuvujisha ngoma mpya ya kundi la Weusi, kitendo hicho kimemuibuka Rapa wa kundi hilo Joh Makini ambae ameonyesha kutopendezwa kabisa kupitia ukurasa wake wa X (Twitter) ameandika 👇🏻

“Hatuwezi kutoa miziki kiholela kwa kujaribu kama Pipii hizi sio piano bana” @johmakinitz

Majibizano hayo yameonyesha kuwa hakuna maelewano mazuri kwenye suala la kuachia wimbo wa kundi lao la Weusi.

Kama mbwai mbwai tu, @gnakowarawara ameishinda vita rasmi ameidondosha ngoma mpya ya Weusi inayoitwa “Hii Hapa” nenda ka-enjoy nayo. Japo kwa @johmakinitz @lordeyesmweusi hawakuridhika kabisa na wimbo huo kutoka.

Exit mobile version