Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea mkoani Ruvuma,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi, wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea mkoani Ruvuma, kwa shughuli za kikazi, leo tarehe 13 Machi 2026.






