Timu ya Uingereza yashinda 3-1 dhidi ya Scotland

Timu ya Taifa ya  Uingereza imeendendeleza ushindi wa Mabao 3 kwa moja dhidi  ya wapinzani watani wao timu ya taifa ya Scotland , Mechi hiyo ilikuwa ya kirafiki ila  miamba hiyo miwili inapokutana inakuwa mchezo wa kusisimuwa kidogo dhidi ya utani wao

Mabao yamefungwa na  Foden dakika 32 , Bellingham 35 na Harry kane dakika ya 81 bao pekee la scotland limefungwa na Maguire dakika 67  ni goli la kujifunga

Kocha mkuu wa timu ya taifa la Uingereza southgate amekasirishwa  sana  jinsi waandishi wa habari za  michezo jinsi  amabavyo hawathamini na kumueshimu beki Maguire

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button