Danelo Calvacante Amekamatwa tena baada ya kutoroka Jela 31/08/23
Danelo Calvalcante amekamamatwa asubuhi na mapema mida ya saa 8:14am baada ya kutoroka jela alipokuwa amehukumiwa kifungo cha maisha bila kuja kusamehewa baada ya kumuwaa mpenzi wake kwa kumchoma visu.
Polisi wa Jimbo la Pennsylavania wamesema mtuhumiwa alikuwa akijifishia nyuma ya jengo la John Deere lilopo katika jijini la South Coventry township ambalo lipo 30 Miles kutoka jela ambayo alikuwa amefungwa
Calvalcante pia anahitajika na serikali ya nchi anayotoka huko Brazil kwa kosa kuuwa pia, ikumbukwe imepita wiki mbili ambayo ni siku 14 sasa, maana alitoroka tarehe 31/08/2023








