Baloz Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Majonzi Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameshiriki shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Komredi Edward Ngoyai Lowasa Kijiji cha Ngarash Wilayani Monduli Mkoani Arusha. #

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button