D Mbili ni kiwango cha chini kabisa cha kufaulu, ukiangalia yule Mwanafunzi katika masomo Saba akipata A

D Mbili ni kiwango cha chini kabisa cha kufaulu, ukiangalia yule Mwanafunzi katika masomo Saba akipata A zote maana yake atakuwa amepata One- 7, kuna B, C, D. Ule ufaulu wa ujumla unahusisha daraja la kwanza hadi daraja la Nne (Division 4). Katika daraja la Nne kiwango cha chini kabisa cha Division 4 ni yule mtu angalau amepata D Mbili”
Dr Said Mohammed, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Necta.

Executive Secretary of the Tanzania Examination Council, (NECTA)Dr. Said Mohamed speaking to journalists in Dar es Salaam yesterday, regarding the examination to finish primary education, which is expected to start today. PHOTO/MICHAEL MATEMANGA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button