Kwa Picha Mei Mosi- Njombe 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi 2026), ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Njombe, tarehe 01 Mei, 2026.






