CCM: Uimara wa Chama ni Vikao sasa Tunawapa Taarifa Rasmi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kitakuwa na Vikao vya Kitaifa Vitakavyofanyika Jijini Dar es salaam Kuanzia Tarehe 27 – 29 Novemba, 2023 .

Kuanza na Kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kikiongozwa na Katibu Mkuu Ndg. Daniel Chongolo.

Mafunzo kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Kikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan SamiaWaWatanzania🇹🇿

Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa pia Kikiongozwa na Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button