Kundi la Maafisa Wa Jeshi Nchini Gabon Wametangaza Mapinduzi
Kundi la maafisa wa jeshi nchini Gabon lililojiita Kamati ya Mpito na Urejeshaji wa Taasisi, CTRI, limetangaza limetangaza mapinduzi nchini humo.
Raisi amedhuiwa nyumbani kwakwe na mwaname mmoja ametiwa mbaroni kwa uhaini









