Trump Ameanza Kupakia Watu Kurudi Makwao.

Trump Ameanza Kupakia Watu Kurudi Makwao.

Rais wa Marekani Donald Trump ameanza rasmi utekelezaji wa ahadi yake ya kuwarudisha makwao Wahamiaji haramu wote waliozamia nchini Marekani

Hizi ni kati ya picha zinazowaonesha wahamiaji waliokamatwa wakingizwa kwenye Ndege tayari kurudishwa kwenye nchi zao

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button