Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amewasili eneo la Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Kituo cha Polisi Mtumba Daraja A

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amewasili eneo la Mtumba jijini Dodoma kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya Ufunguzi wa Kituo cha Polisi Mtumba Daraja A kinachotarajiwa kufunguliwa rasmi leo na Mhe. Dkt. Philip Mpango Makamu wa Rais

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button