Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, tarehe 05 Agosti, 2026






