Kocha mkuu wa Lyon Fabio Grosso akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa na mashabiki wa klabu ya Marseille.
Kocha mkuu wa Lyon Fabio Grosso akipatiwa matibabu baada ya kushambuliwa na mashabiki wa klabu ya Marseille.
Ilikuwa hivi basi ambalo kocha huyu alikuwepo lilishambuliwa na Mawe mengi ambayo baadhi ya vioo vilimkata kata usoni
Baada ya tukio hilo ,mchezo uliokuwa uchezwe saa 4:45 mechi kati ya Lyon na Marseille imehairishwa
Klabu hizo mbili zinazojulikana kwa uhasama mkubwa wa mashabiki wao katika ligi hiyo ya ufaransa ,