Sakho Apewa Thank You Simba hadi Ufaransa
Klabu ya Simba SC imethibitisha kuwa imefikia makubaliano na klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kwaajili kumnunua mchezaji Pape Sakho raia wa Senwgal hivyo mpaka sasa Simba imesalia na wachezaji 13 wa kigeni huku sheria ikiwahitaji kuwa na wachezaji 12.






